Sunday 7 February 2016

Mazombi Zanzibar....


Kumekuwepo na watu wanaojifunika soksi kichwani ambao kwa muda sasa wamekuwa wakipiga watu kwa kutumia silaha za aina mbalimbali katika mji wa Unguja. Watu hao wanajulikana kama Mazombi.

Kupitia kwa Kamishna wa Polisi Zanzibar, Jeshi la Polisini Visiwani humo linasema, halina taarifa za kuwepo kwa Mazombi...

Habari zaidi ingia hapa